15 Next Page  
  Topic: CCM IMESHUSHA JEHANAMU TANZANIA, HOTUBA YA MCHUNGAJI KWA TAIFA < Next Oldest | Next Newest >  
kadogoo



Group: Members
Posts: 35
Joined: May 2003

Posted: Feb. 02 2004,22:00   

ASANTE MUNISHI KWA HOJA ZAKO ZENYE NGUVU NA RUTUBA TOSHA. PAMOJA NA LAWAMA ZANGU NILIZOKUPA HUKO NYUMA BILA YA WEWE KUZIJIBU LAKINI POTELEA MBALI UMENIFURAHISHA KWA HOJA ZAKO NZURI NA "BARA-BARA"UNAZOZITOA HAPA ZA CHANGAMOTO DHIDI YA CHAMA CHA MAPANDA MBUZI NA WAKATI HUO HUO UKIJITETEA KWA HOJA ZAKO SAFI DHIDI YA WAKEREKETWA WA CHAMA HICHO MFANO AKINA UWAZI NA WENZAKE WALIOPENYEZWA HUMU NDANI ILI KUZILINDA,KUZITETEA NA KUZIENZI SERA ZA CHAMA HICHO KWA GHARAMA YOYOTE ILE!

NDUGU YANGU MUNISHI KUANZIA LEO NITAANZA KUKUUNGA SI MKONO TU BALI HATA NA MIGUU NA KICHWA PIA! ILI TUSHIRIKIANE KUSIMAMISHA HAKI NA UADILIFU KTK NCHI YETU.

UWAZI,UKUMBI HUU NI WA KISWAHILI KAMA HUWEZI KUJIELEZA KISWAHILI HAPA BASI UMEPOTEA UKUMBI KWANI WA KIINGEREZA NI MAHALI PENGINE,WEWE UNAONEKANA LABDA NI MSOMI JARIBU KUSOMA ANUANI YA UKUMBI KABLA HUJATUMA MAELEZO YAKO!

   
Cannabis 1st



Group: Members
Posts: 6
Joined: Feb. 2004

Posted: Feb. 03 2004,07:28   

Well, Tz ni moja ya nchi ambazo ni members of the British Commonwealth. As you know, nchi nyingi za afrika zimekuwa
planned na colonial masters, who benefit a lot through slavery, a crime in which i 'n i are victims.
Prophecy says "get out of her unless you want to share her sins".
Vivyo, kama wa Afrika hawatajitenga na huyu mama wa makahaba, alie wa-nationalize Africans na kuwafanya waonane kama vile ni watoto wa mama mbalimbali, basi watachomwa pamoja naye katika ziwa liwakalo moto.
Nao wazee waliotutangulia sijui walikuwa wanawaza nini hata wakakubali kuwa nationalized!
Si vizuri mtu kuwa maficho ya wahalifu. Lakini wazee wetu wakakubali kuwatelekeza ndugu wa damu kwa kufuata identity imposed on them by whites, na kuanza kuwaona wale wazaramo, wangoni, wachaga, wanyamwezi, wanyakyusa, wamanyema, nk, as black British or black Amerikans, Jamaicans, west Indies, black Canadians, etc.
What a crime! Ndio maana nothing run cool.
Africans must know that "YOU CAN'T BE WRONG AND GET RIGHT".

   
Munishi



Group: Members
Posts: 80
Joined: Nov. 2003

Posted: Feb. 20 2004,20:07   


http://munishi.com/

Nashukuru kwamba wengi wameanza kunielewa. Lakini kuna wale ambao bado kwa makusudi hawataki kuelewa kwamba Munishi mimi sijaacha kuihubiri injili. Ila wanakataa ukweli kwamba Injili ni maisha na sijui wapi utajenga ukuta useme injili inaishia hapa na siasa inaanzia hapa. Katika hilo tukubaliane kutokukubaliana.

Kwangu kuikemea CCM na serikali mbovu ya Mkapa, ndiyo Injili yenyewe hiyo. Injili inakataa maovu ya kila aina. CCM aliyoanzisha Nyerere ni baba wa maovu Tanzania. Ndiyo maana kwangu ni sawa na JEHANAMU Tanzania.

Sasa magazeti yameanza kunishambulia eti nimejaribu kusema nitakuwa Rais wa nne Tanzania. Kuna ajabu gani mimi kuwa Rais? Nina kila kinachohitajika kuwa Rais wa Tanzania.

Vyombo vya habari vijue hivyo na viache kunisakama.


Mfano gazeti la Nation, Limeacha sera zake za karibuni za kuisifu serikali ya Kibaki, na sasa wameanza kunishambulia.
Hatutegemei kazi ya gazeti iwe ni kuipinga serikali tu, Sambamba na hilo hatutegemei gazeti liwe linaimba sifa za serikali hata pale serikali inapokosea. Nation wanafanya hivyo bila haya. Tangu serikali mpya waingie madarakani gazeti la Nation limekuwa likiyafumbia macho makosa yao, huku wenzao Standard wakiwa mstari wa mbele kuyakemea. Baada ya Nation kuisoma "Stori" hii, Kiranja wao Wilfred Kiboro alikasirishwa sana. Haraka aliamuru sera za gazeti hilo zibadilishwe na kuanza kuikemea serikali. Sasa kama hawaikemei serikali kwa sera mbovu za usafiri, Kiboro mwenyewe anakuwa habari, kama siyo habari kuwa Kiboro. Walianza na Kibaki mwenyewe pale waliporipoti kwamba aliporomoka kwenye ngazi za Ikulu na kutonesha majeraha ambayo tayari alikuwa nayo. Serikali iliwapuuza kwani ilikuwa na kazi ya kuwanyamazisha Standard waliokuwa wamezidi na kelele zao. Ni ukweli usiopingika kwamba Nation ya Kiboro inaboronga na inaporomoka, huku Standard wakijigamba kwamba wameshika usukani. Sijui kama wasomaji watarudisha imani yao kwa Nation tena. Tunasubiri tuone. Serikali ni kama inafanikiwa. Kwani Standard nao wanaonekana kwamba mdomo waliokuwa wakiupanua sana kupiga kelele, umewekwa kitu, na sasa sauti haitoki sawasawa. Kwamba wanaopinga ndio wanaozawadiwa, inaonekana kuwaumiza Nation na CITIZEN. Sasa wameanza kupinga. Lakini wakiwa wamechelewa. Nani aliwadanganya wanasiasa watakumbuka fadhila? Wanajidai kuwasaidia Kana kwamba wanajitetea, Nation waliandika kuhusu mhariri wa gazeti hili na kujaribu kuichambua web site hii. Lengo ni kuonyesha kwamba mkuki kwa Nguruwe ni sawa, lakini kwao ni wa uchungu.  Sikia walivyonisakama hapa.


How politics derailed
the Munishi gospel crusade
By DAN TENG’O
He came, he saw and conquered the local gospel music scene. But not any more. The lustre that Faustin Munishi had in the 80s when he took the local gospel music scene by storm seems to have faded out.

The once-famous artiste, who popularised solo gospel music in the early 1980s when the genre was dominated by choirs, is no longer enthralling fans with hypnotic vocals and idiomatic Kiswahili rich in imagery and symbolism as he used to.

Since 2000, when the Tanzanian Government banned the evangelist’s seventh gospel cassette titled, Mpende Adui (Love the Enemy) owing to its political views, nothing has been heard of him, at least musically speaking.  

Instead, the Arusha-born Munishi has remained steeped in political activism for the past few years and has now decided to fight for his cause via his website.

Munishi, who is credited for rocking the local gospel music scene with seven delightful music albums, has vowed to censure Tanzania’s ruling party, Chama cha Mapinduzi (CCM), until its downfall, of which he seems sure.

On his website, which is full of his family pictures, Munishi claims that he has been "anointed by God" to free Tanzanians from the country’s ruling party. To hammer the point home, Munishi attacks the party with acid lyrics of the opening track for the album Mpende Adui.

In true vitriolic fashion, Munishi’s website has a link entitled "Wasikilize waongo!" (Listen to the liars!;) which, upon clicking, directs one into the Tanzanian National Website.

He takes a swipe at President Benjamin Mkapa’s government, accusing it not only of misruling Tanzania, but also of human rights abuses. He cites himself as an example of a gagged citizen, saying copies of Mpende Adui were confiscated by police for allegedly disparaging the Mkapa government.

"Tanzania is for all its citizens and not Mkapa’s or CCM’s as it seems to be," he trumpets in his website, adding that Mkapa claims to know everything that is good for Tanzania yet the opposite is true.

On the website, he hits at the US virulently, much as he did in the song titled Msiabudu America (Don’t worship the US), featured in his controversial seventh album. In the song, he accuses the US of denying people visas unnecessarily.

Also on the receiving end of Munishi’s attacks are journalists and local media houses with the exception of KBC (Kenya Broadcasting Corporation), which helped to boost his musical career back in the mid-eighties and BBC which granted him a full interview during his tug-of-war with the Government of Tanzania, which he confesses to hate.

He rails at radio stations for being overly commercial. "Their aim is not to inform or entertain. They are out to broadcast commercials. They use commercial means to target believers, thus injuring their faiths. Their programmes gloss over matters to do with faith," he says.  

Before finding a vocation in music, Munishi, 44, worked as a painter in Arusha. In 1980, he acquired an accordion and started to sing old Sunday school themes such as Niko Chini ya Mwamba which became a number one single in Kenya.

Munishi became a born-again Christian that year and joined Tanzania’s Bishop Mosses Kulola’s entourage as a singer before ditching the old preacher for a solo music career in Nairobi.

His debut album registered mild success. The second, Niko Chini ya Mwamba, however, put the singer into big business. In 1989, he went back to Arusha and married Ms Prisca, with whom they sang a duet in the opening track for the third album "Yesu na Wewe" (Jesus and you).

From then, the wife never sang in public again, thus causing the wide speculation that she had actually ditched the singer.

In 1993, Munishi made another trip to Arusha (in a sleek white Mercedes Benz) to refute the allegations and did it at an open-air crusade, where the alleged estranged wife accompanied him in a musical number, just to prove that she was still around.

Munishi is blessed with three children, the oldest being Mojashi, who immediately after being born, joined the father's singing group in Nairobi by the name "Mojashi Choir".

The choir collapsed later and so did Munishi’s own newspaper, Injili, whose first and only copy came out in 1996.

Most of the newspaper material has been repackaged in his website which, like the print version, is full of Munishi’s various profiles in the positive and his "enemies" in the negative.

Meanwhile, Tanzanians last week saluted the 25th anniversary of the death of Mbaraka Mwinshehe Mwaruka in a motor accident in Kenya.  

Mwaruka died in a Mombasa hospital in 1979 apparently out of excessive blood loss following a road accident. It was a dark day for Tanzania and East African music, and about which his family still grieves.

   
Augustine Moshi



Group: Members
Posts: 338
Joined: May 2003

Posted: Feb. 21 2004,03:41   

Mwenjilisti Munishi,

Naona kampeni zimepamba moto, na hata gazeti la Arusha Times la wiki jana lilikuzungumzia. Makala hiyo ianapatikana kwenye site ifuatayo:

http://www.arushatimes.co.tz/2004/6/front_page_3.htm

Bahati mbaya, kwenye makala hiyo wameandika, na nanukuu:

"In Arusha, he lived at Unga Limited working as an artist - painting murals but also admits to have been a part-time criminal"

Hapo pana tatizo. Ni kweli ulikubali kuwa part time criminal? Kama ni kweli, utawahakikishiaje Watanzania kwamba sasa umeacha kabisa? Huwezi kurudia tena?

Kama gazeti limesema uongo basi wachukulie hatua kali. Utapata fedha ya kuendeshea kampeni toka kwao, na usisahau kunikatia hapo kitu kidogo kwa kuleta hii ishu kwako.

Augustine Moshi

   
Bwabwaja



Group: Members
Posts: 69
Joined: Oct. 2003

Posted: Feb. 21 2004,03:45   

Asante ndugu zetu wakenya kwa kumstukia munishi kwani huyu jamaa ni hatari na mchonganishi wa hali ya juu.

   
Munishi



Group: Members
Posts: 80
Joined: Nov. 2003

Posted: Feb. 24 2004,18:24   


http://www.munishi.com/

Nashukuru kwamba vyombo vya habari vimeanza kuujua umuhimu wa Internet.Kwamba vinaweza kuandika habari zangu na kuyanukuu niliyosema kwenye web site yangu hiyo ni hatua kuelekea pazuri. Zamani ilikuwa lazima ripota atumwe ofisini kwangu, na akifika anywe chai, na akiondoka aombe nauli ya kurudi ofisini kwake. Ukifikiri yataishia hapo, Story ikichapishwa gazetini aje na kopi ya gazeti, ajaribu kunionyesha kazi yake ilivyokuwa nzuri, mwisho aseme anaomba pesa kidogo ya kula chakula cha mchana. Kwangu hiyo ilikuwa kero. Ndiyo maana niliimba wimbo kuwahusu waandishi wa habari. Kwenye wimbo nilisema kwamba waandishi wa habari ni wala rushwa wakubwa ambao hawayaoni ya kwao kwani wako bize kuyakemea ya wengine. Pia nilisema kwamba wanapenda sana kuwaandika wanasiasa ili wachotewe mishiko ya kitu kidogo. Wahariri wengi hawakuupenda sana wimbo huo, kwa hiyo naelewa wanaponishambulia kwamba nimefanya dhambi kutoa maoni yangu kuhusu siasa, na hata kutangaza kwamba niko tayari kugombea URAIS Tanzania. Wanahoji kwamba nimeharibika kujaribu kufanya hivyo. Nani aliwadanganya kwamba sina haki ya kutoa maoni yangu na hata kujitoa kuugombea urais?

Wengine wananishauri kwamba kuwashambulia waandishi wa habari ni sawa na kubomoa daraja ambalo ningepitia kuelekea kwenye urais. Nimeukataa ushauri wao kwani kuwashambulia kwa uoza ndani ya taaluma yao, ni sawa na kulijenga daraja nipite likiwa imara. Kama kuwashambulia kutawafanya wasiandike chochote kunihusu wacha iwe hivyo. Tena ikiwa kuwashambulia kutawafanya waandike mabaya yangu ya kweli, hata hiyo sipingi. Lakini hali ilivyo sasa inaonyesha kwamba kujaribu kuwashambulia wale wanaojiita "MTAA WA TATU" kumewafanya waandike mengi ya uongo kunihusu na hiyo haipaswi kuwa hivyo. Mfano gazeti la ARUSHA TIMES kusema kwamba nilikiri kuwa "part time criminal" Ambapo ni uongo. Sijawahi kuwa "Part time criminal." Hawajawahi kunihoji, watasema wamenukuu web site yangu. Sawa Je ni wapi katika web site yangu nimewahi kusema hivyo?
Siwaombi msamaha ili waandike mazuri kunihusu, pia wakifanya hivyo hawatakuwa wamekosea kwani najua nina mazuri mengi. Kwamba nitawapa rushwa ili habari kunihusu ziwekwe kurasa za mbele za magazeti yao, Hiyo siwezi kufanya. Wenyewe wanaita KU-"BIHAVE" Ikiwa wananisikia wajue kwamba Munishi amekataa KU-"BIHAVE" Lakini bado nahitaji taaluma yao kuweza kuufikisha ujumbe wangu kwa wapiga kura. Na ikifika hap[o basi wale waandishi wanaopiga vita rushwa katika taaluma hiyo ndio nitakaowatumia kuupeleka ujumbe wangu kwa wapiga kura. Usijali kwamba hao ni wachache kulinganisha na wale waliozoea Rushwa, Lakini uchache wao ndio unaonifanya nizidi kuwashambulia waandishi wa habari ili waachane na rushwa na badala yake wazingatie miiko ya taaluma yao.
Na bila kuwaficha nikiingia madarakani nitaunda tume kuchunguza rushwa katika vyombo vya habari.Watakaopatikana na hatia, sheria ichukue mkondo wake. Marais wengi Afrika huunda tume za kuchunguza rushwa katika mahakama na Polisi wanawasahau wala rushwa nambari moja ambao ni waandishi wa habari. Poleni wana "MTAA WANA TATU" Mkuki kwa nguruwe........

   
Bwabwaja



Group: Members
Posts: 69
Joined: Oct. 2003

Posted: Feb. 25 2004,17:22   

Kwako Munishi,
Kwanini hukai kimya na kuacha kupiga kelele zako hapa katika bodi?. Nimekuwa nikiwaeleza wanabodi toka mwanzo kabisa kwamba wewe hutufai kuwa raisi wetu wa nne tokana na sifa zako za huko nyuma kwamba ni chafu na mbaya kwa maana kwamba ulikuwa ni mkabaji, jambazi na kwamba huna shule vile vile na hata magazeti yana andika hivyo kwa kuthibitisha kauli hiyo. Ni bora ukae kimya na ukate tamaa kabisa ya kuingia ikulu ama ukubali kwamba ulikuwa jambazi na sasa umeacha umeamua kuwa mchungaji ingawa sina uhakika na hilo na uwaombe wananchi msamaha hasa kwa wale ambao uliwanyia ujambazi huo na pia uende shule kwanza. Nimekuwa nikikupigia kelele kwamba hufai na sasa magazeti yananisaidia kwa hilo ama kweli penye ukweli uwongo hujitenga. kaa kando munishi.

   
Munishi



Group: Members
Posts: 80
Joined: Nov. 2003

Posted: Feb. 26 2004,17:33   


http://munishi.com/


Munishi ni Rais


Munishi kuwa Rais wa Tanzania siyo suala la kama atakuwa, bali lini ataapishwa kuwa Rais. Tunasubiri siku kama siyo miezi. Kabla sijaanza kuimba nyimbo za injili hakuna aliyethubutu kuniita mwanamuziki wa dini. Nilipoanza kuimba ndiyo maana hata leo mnaniita  MSANII. (japo wengi walinipinga wakati huo)

Singoji mniite rais wa Tanzania, najua hamtathubutu kufanya hivyo kabla ya mimi kuwatangazia sifa zangu kama rais mtarajiwa, na  ndiyo maana nimeanza kusema kwamba nafaa kuwa Rais. Wanaopinga wana haki ya kufanya hivyo kwani wao wanafikiri kwamba kuna mtu anayezaliwa akiwa rais.

Wanasema niimbe na nisithubutu kusema kwamba mimi ni Rais wa Tanzania. Nani aliwadanganya kwamba siwezi badili taaluma? Nyerere alikuwa Mwalimu akaacha akawa Rais. Mkapa alikuwa mwandishi habari akaacha, Nyerere akambandika urais japo mwenyewe hakuwahi kusema kwamba anataka kuwa Rais.

Siwezi kuwa kama Mkapa ningoje urithi wa Urais. Nitautafuta urais kwani napenda kuwa Rais.Mtu akifanya kile akipendacho, hukifanya kwa moyo wote.

Urais nitaufanya kwa moyo wote.Watanzania watakuwa wameipoteza bahati kubwa ikiwa wataacha kunipa kura zao niwe rais wao. Mungu ibariki Tanzania na Rais wake mpya Mr. Faustin S. Munishi.

Elimu yake ni juu sana kiasi haiwezi kupimwa na vipimo vya kupima elimu duniani. Ni mtu wa watu. Mpenda maendeleo ya watu wote Tanzania. Siyo mbinafsi wa mawazo kama Nyerere, ni rahisi kurekebishwa. Munishi anapenda kusikiliza ushauri. Ila haendekezi ushauri wa kiwendawazimu kama wanaotoa wengine hapa. Kwa hilo Munishi ni kiongozi shupavu.

15 Next Page